Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti, 2017

Roho Mtakatifu Na Mwl Christopher mwakasege

__  Roho Mtakatifu anaweza kuutumia ukiwa uliopo ktk kumuongoza mtu __  Ukiwa ni ishara inayomjulisha mtu ya kuwa kuna jambo la kiroho linalohitaji matengenezo na mungu Hii ni kwa sababu kufuatana na ( Ezekiel 15:8 ) ( Yeremia 22:5 ) Ukiwa ni moja wapo ya adhabu ambazo mungu anaweza kuitoa kwa mtu au watu kutokusikia na kutokutii maagizo yake. __  Ikiwa mtu anasikia moyoni mwake ukiwa uliombatana na maombolezo na huzuni kwa wakati mmoja huo huo hiyo ni ishara ya ujumbe toka kwa Roho mtakatifu ya kuwa hali hiyo inahitaji maombi kwa mungu ili upewe maehekezo zaidi juu ya aina gani ya matengenezo ya kiroho yanayo hitajika ili hali hiyo iondoke. __  Hali hiyo ya ukiwa inaweza kuwa juu ya eneo au juu ya mtu au juu ya kundi la watu au juu ya wazo au juu ya tukio na tukaangalia utendaji wake juu wa roho na ukiwa juu ya eneo. Leo nataka tujifunze mambo kadhaa juu ya ujumbe ambao roho mtakatifu anaweza kuwa nao ukiwa unapokuwa juu ya mtu au juu ya kundi la watu roho mta...

Magazeti ya Tanzania sep 1, 2017

Magazeti ya nje sep 1, 2017

Roho Mtakatifu part 7 Na Mwl Christopher mwakasege

Roho Mtakatifu anataka ufahamu na ujue mambo gani ikiwa nakupa kukujulisha juu ya ukiwa kuwepo ktk eneo. Biblia inasema ktk ( mwanzo 1:2 ) hivi nayo nchi ilikuwa ukiwa na roho ya mungu ikatulia juu ya uso wa maji kufuatana na neno nchi lilivyotumika hapa lina maana ya ardhi. Hii ni kwa kuwa tafsiri nyingi za Biblia za uingereza zimetumia neno earth pamoja na kwamba ardhi hiyo ilikuwa chini ya maji au ilikuwa imefunikwa na maji. Roho Mtakatifu aliweza kujua hali ya ukiwa iliyo kuwa kwenye ardhi ya eneo lile na tunaposoma ( Ezekiel 15:8 ) Tunajua ya kuwa ukiwa ni matokeo ya adhabu ya mungu mstari huu umeandikwa hivi nami nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamekosa asema Bwana mungu mstari huu unatupa kujua jambo muhimu ya kwamba ukiwa unaweza ukakaa juu ya ardhi au ktk ardhi ya eneo hata kama eneo hilo la ardhi au ktk ardhi ya eneo hata kama eneo hilo la ardhi halina watu wakati huo Je hali ya namna hii unapoisikia moyoni mwako UNAPOOMBEA eneo la ardhi unayotaka kununua kwa ajili...

Jelly: simu janja ndogo zaidi ya kutosha kiganjani inayokuja na mfumo wa 4G

Imezoeleka ukitaka kufurahia teknolojia za kisasa zaidi basi itakubadili kununua simu ghari zaidi, ila kwa simu ya jelly ni tofauti. Utapata simu yenye mfumo wa 4G na Android 7.0 na kwa bei nafuu zaidi simu ya jelly inasifa ya kuitwa simu janja yenye umbo dogo zaidi duniani inayokuja pia na teknolojia ya mawasiliano ya 4G na pia toleo la kisasa na Android Muonekano wa simu ya jelly Simu hii ni simu nzuri tuu yenye uwezo wa kuzishinda simu nyingine nyingi za Android zinazouzwa kwa bei ya juu tuu na huku zikikosa sifa ya kuja na Android 7.0 na kwa uwezo wa 4G LTE. Simu ya jelly inakuja ktk matoleo mawili jelly ya kawaida inayokuja na RAM ya GB1na diski uhifadhi wa GB 8. Itauzwa kwa dola 109 za marekani, yaani takribani Tsh 220, 000/= Pia kuna jelly pro yenye GB 2 ya RAM na diski uhifadhi wa GB 16 hii itaenda kwa dola 125 ( Takribani Tsh 250,000/= Simu zote hizi kwa sasa zinapatikana kwa bei pungufu kwa watu wanaochangia matengezo ya mkupuo wa kwanza wa simu hizo. Watu wanao...

Jinsi ya kutumia Account mbili za whats app kwenye simu moja

Hii kutokana na kuulizwa swali hili na watu wengi ktk emal yangu. Watu wengi sana wamekuwa wakitafuta njia ya kuweza kutumia whats app mbili tofauti kwenye simu moja. Leo nitatoa maelekezo mafupi ambayo yata kuwezesha kutumia whats app mbili kwenye simu yako. Fanya hatua zifuatazo. Download App inayoitwa parallel space kwenye play store. Hatua ya pili: Kama simu yako ni laini moja basi weka line nyingine ambayo unataka iwe whats app yako ya pili. Hatua ya tatu: Install application uliyo download kwenye step 1( parallel space ) kisha fungua Hatua ya nne: Utkapofika kwenye kipengele kinachotaka kuweka namba ya simu hapo utaweka namba yako ya pili ili uweze kuwa na what's app mbili. Hatua ya tano: Utaendelea na steps za kawaida kama ulivyo jiunga na what's app ya kwanza mpaka hapo utakuwa umefanikiwa kuweka na tuanza kutumia whats app mbili kwenye simu moja.

Roho Mtakatifu part 6 Na Mwl Christopher Mwakasege

Roho Mtakatifu Anaweza Kutumia Ukiwa Ili Kukuongoza Ktk Maisha Yako Unachotakiwa kujua mapema ni kwamba ndani ya Roho Mtakatifu hakuna ukiwa lakini roho mtakatifu anaweza kutumia ukiwa anaoukuta mahali ambapo watu wanakaa au wanapotakiwa kukaa. Biblia inatueleza na kutufahamisha ktk ( mwanzo 1:1 ) ya kuwa hapo mwanzo mungu aliziumba mbingu na nchi na wakati huo huo mstari unaofuata unatufahamisha ya kuwa nchi ilikuwa ukiwa tena utupu na giza ( mwanzo 1:2 ) Ukisoma mistari hii kwa haraka ni rahisi kufikiri ya kuwa mungu aliumba nchi pamoja na ukiwa na utupu taarifa tofauti. Tunajifunza ktk somo la leo jinsi Roho Mtakatifu anavyotumia ukiwa kumwongoza mtu na kwa ajili hiyo hebu tusome ( isaya 45: 18 ) Tuone inasemaje juu ya ukiwa. Mstari huu unasema hivi " maana Bwana aliyeziumba asema hivi yeye ni mungu ndiye aliyeiumba dunia na kuifanya ndiye aliyelifanya imara hakuiumba ukiwa aliumba ili ikaliwe na watu mimi ni Bwana, wala hapana mwingine" Ni dhahiri ya kwamba mungu ha...

Mitandao ya kijamii inaweza kusababisha magonjwa ya akili __ Utafiti

Je unapenda kufungua mitandao mbalimbali ya jamii kama facebook, tweeter nk Kama jibu ndiyo, Basi uko hatarini kupata tatizo la msongo wa mawazo na wasiwasi utafiti mpya uliofanywa na chuo kikuu cha pittsburgh cha pennsylvania nchini marekani mwaka 2014 na kuzinduliwa mwaka huu unaonyesha kuwa matumizi ya mara kwa marabya mitandao ya jamii yanaweza kusababisha magonjwa ya akili ukiwamo msongo wa mawazo na wasiwasi. Wakati kukiwa na tatizo hilo makadiriwa kuwa asilimia 71 ya vijana duniani kote hutembelea mitandao tofauti ya jamii kila siku huku simu za mikononi zinazowezesha kupatikana mitandao hiyo kirahisi zikizidi kubuniwa na kuboreshwa. Asante sana

Vijue vitu vitano vinavyomaliza chaji kwa haraka kwenye simu

Hivyo ili kuepuka kumaliza chaji ktk simu yako yaepuke mambo haya _  Uwashaji wa bluetooth _  Wifi _  Mwanga wa simu. ( Blightnes ) _  Vibration mngurumo _  Wallpaper zinazo badilika Haya ndio yanayo maliza chaji ya simu yako

Magazeti ya Tanzania Aug 27, 2017

Fahamu jinsi ya kutengeneza sabuni ya vyoo

Sabuni ya kusafisha vyoo Malighafi. 1. Sulphonics Acid Lita 1 2. Soda Ash nusu 1/2 kilo 3. Sless 4. Chumvi 1/2 kilo 5. Maji lita 17 1/2 _ 20 6. Rangi kijani 7. Pafyumu 8. Formalin Jinsi ya kutengeneza Weka maji lita 5 kisha anza kukoroga, ongeza lita 5 kisha lita 5 tena na mwisho lita 2 4. Chumvi 1/2 kg 3. Sless nusu lita 2. Soda ash nusu kilo 1. Sulphonics Acid lita 1 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu ni vinzuri kuweka kwenye ndoo lita 10 ya sabuni utaweka rangi kijiko 1 cha chai, rangi ya kijani pafyumu aina ya ' Rose two one ' au pino vijiko 5 vya chakula na Formalin vijiko 3 vya chakula. Formalin kwa ajili ya kuua wadudu ( bacteria ) ni vinzuri sana kuwemo kwenye sabuni ya chooni kwani ina kazi nyingi zaidi ya hiyo iliyotajwa Asante sana rafiki sasa chukua hatua ya kufanya hakika utafanikiwa sana

Fahamu jinsi ya kutengeneza sabuni ya unga

Sabuni ya unga Malighafi. A. Solphonic lita 1 B. Sodium sulphate kilo 3 C. Optical brightener vijiko 10 vya chakula D. Nausa vijiko 10 vya chakula E. Soda ash kilo 3 F. Pafyumu kijiko 1 cha chakula G. Rangi kijiko 1 cha chakula Jinsi ya kutengeneza Andaa malighafi kwa resho kama ilivyoandikwa hapo juu, Beseni na mwiko, kisha weka kimoja kimoja ukianza na herufi A __ G, huku ukikoroga mseto wako kwa muda wa dakika 15 halafu anika sehemu yenye hewa kivulini hadi ikauke. Hapo sabuni yako ya unga itakuwa tayari, iweke kwenye vifungashio ipeleke aokoni

Mo farah kuhamia mbio za marathon

Mo farah ameshusha pazia la taaluma yake ya kushiriki mashindano ya ndani mwa uwanja nchini uingereza, baada ya kushinda mbio zake za mwisho zitakuwa zurich weltklsse Alhamis wiki hii kabla ya kujitosa ktk ulimwengu wa mbio za marathon barbarani msimu ujao