Kutokwa kwa damu puani hutokea kutokana na pua au sehemu za uso kuumizwa.
Vile vile ikiwa sehemu ya uso na pua zinakutanishwa na kitu chenye hali joto tofauti sana.
Wakati mwingine hasa asubuhi damu huweza kutoka puani kutokana na kutokawa puani kutokana na kunawa uso maji ya baridi sana.
Mlaze chali mhusika, lowanish kitambaa ktk maji baridi.
Kiweke kitambaa hicho ktk paji la uso wake.
Unaweza kutumia kitu kingine chochote baridi mradi kiwe safi kama mkufuwa metali.
Mara nyingine sio lazima mhusika kulala chali.
Hata hivyo inabidi kubana pua yake ili damu isidondoke.
Wakati huo weka kitambaa kilicholoweshwa maji baridi ktk paji lake la uso au kitu kingine chochote cha baridi.
Ikiwa damu itaendelea kutoka mpeleke haraka kwa daktari.
Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji Malighafi: 1. Sulphonic Acid Lt 2 2. Soda Ash Kg 1 3. Sless Lt 1 4. Chumvi Kg 1 5. Pafyumu /rangi Bluu 6. Maji Lt 35 _ 40 Jinsi ya kutangeneza Anza kwa kuweka lita 10 mara tatu, yaani lita 10 tena na mwisho lita 10, angalia uzito ongeza tena lita 5 na kisha lita 2 ikiwa uzito bado ongeza lita 2 na mwisho lita 1 4. Chumvi kg 1 3. Sless Lt 1 2. Soda Ash Kg1 1. Sulphonics Acid Lt 2 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu kwa sababu ukiweka pafyumu lita 35 bila kufunika itaisha baada ya muda mfupi. Ni vema rangi na pafyumu uweke pembeni. Mfano: Chukua ndoo ya lita 10, weka rangi robo kijiko cha chai na pafyumu vijiko vya chakula viwili na koroga vizuri. Ni vema utumie pafyumu aina ya lemon. Sababu za kutoweka rangi sabuni yote: Wapo wateja hawapendi rangi na harufu kwa hiyo utawapa kila mtu kama atakavyo na kujaza kwenye chupa zako zenye mifuniko saa hiyo hiyo ukiachia muda inatoka harufu. Asante sana rafiki.
Maoni
Chapisha Maoni