Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Chuki

Chuki ni nini ? Chuki ni mawazo mabaya yanayo kaa ndani ya ufahamu wa mtu.

Kwa nini chuki ? Je mtu anapata wapi chuki ? sokoni hapana, njiani hapana, sasa ni wapi ?
Chuki haipatikani sokoni wala njiani bali chuki inapatikana kwenye vinywa vya watu walioadhiliwa na chuki.

Watu walioadhiriwa na chuki nao wameipata ktk maneno ya watu au malezi ya familia au jumuia ya watu, kwa maana chuki ni roho, chuki sio chukula, chuki inajengwa kwa njia mbili, kwa njia ya maneno na malezi ya familia au jumuiya ya watu.

Watu wenye chuki hawana tofauti na jitu lenye roho mbaya kwa maana wote lengo lao ni moja japo wanatofautiana.

Roho mbaya na chuki zinatofautiana kwa jinsi hii

Roho mbaya ni mtu anayependelea watu wake mfano Anaweza kumfanyia roho mbaya mtu, kumnyima kazi au nafasi ye yote ofisini
Kwa madhumuni ya ndugu yake au rafiki yake kupate nafasi hiyo wewe hukose.

Huyu ndiye mtu mwenye roho mbaya, anaweza kuwa roho mbaya kwako ila kwa wengine ni mtu poa sana.

Sasa mtu mwechuki ni hatari sana kwa jamii na afya yake yeye mwenyewe kwa maana mwenye chuki yuko tayari kujipoteza bila ya sababu, kwanza hana sababu.
Yapo madhala yatakayo itafuna afya yake kwa chuki zake, pamoja na kupunguza urefu wa maisha yake

Madhala yenyeweni

Ubweke
Mawazo ya mgando
Vidonda vya tumbo
Magonjwa ya moyo
Shida kuishi na watu wenye moyo wa upendo

Madhala yapo mengi ila haya ndio madhara makubwa kwa mtu mwenye chuki.

Je wewe unachuki ? Au umewai kukutana na watu wenye chuki kama hapana
Ni vinzuri, ila unapaswa kujikinga ili uweze kuishi maisha marefu

Jinsi ya kujikinga na chuki

- Hepuka vijumuia vya watu wanaotafuta masilai yao wenyewe

- Kumsema mtu kwa siri

- Siasa ya maji takaa

- Malezi

Je umeadhiliwa na chuki kwa njia ya malezi ya familia au jumuia ya watu

Muda ni huu kubari kujishusha chini, jichanganye na watumishi wa mungu, kubari makosa yako, usifiche neno lolote hata sili, penda kufanya mema na kusoma neno la mungu
Hakika utaweza kuishinda roho ya chuki

Asante






Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji Malighafi: 1. Sulphonic Acid Lt 2 2. Soda Ash Kg 1 3. Sless Lt 1 4. Chumvi Kg 1 5. Pafyumu /rangi Bluu 6. Maji Lt 35 _ 40 Jinsi ya kutangeneza Anza kwa kuweka lita 10 mara tatu, yaani lita 10 tena na mwisho lita 10, angalia uzito ongeza tena lita 5 na kisha lita 2 ikiwa uzito bado ongeza lita 2 na mwisho lita 1 4. Chumvi kg 1 3. Sless Lt 1 2. Soda Ash Kg1 1. Sulphonics Acid Lt 2 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu kwa sababu ukiweka pafyumu lita 35 bila kufunika itaisha baada ya muda mfupi. Ni vema rangi na pafyumu uweke pembeni. Mfano: Chukua ndoo ya lita 10, weka rangi robo kijiko cha chai na pafyumu vijiko vya chakula viwili na koroga vizuri. Ni vema utumie pafyumu aina ya lemon. Sababu za kutoweka rangi sabuni yote: Wapo wateja hawapendi rangi na harufu kwa hiyo utawapa kila mtu kama atakavyo na kujaza kwenye chupa zako zenye mifuniko saa hiyo hiyo ukiachia muda inatoka harufu. Asante sana rafiki.

Fahamu jinsi ya kutengeneza sabuni ya vyoo

Sabuni ya kusafisha vyoo Malighafi. 1. Sulphonics Acid Lita 1 2. Soda Ash nusu 1/2 kilo 3. Sless 4. Chumvi 1/2 kilo 5. Maji lita 17 1/2 _ 20 6. Rangi kijani 7. Pafyumu 8. Formalin Jinsi ya kutengeneza Weka maji lita 5 kisha anza kukoroga, ongeza lita 5 kisha lita 5 tena na mwisho lita 2 4. Chumvi 1/2 kg 3. Sless nusu lita 2. Soda ash nusu kilo 1. Sulphonics Acid lita 1 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu ni vinzuri kuweka kwenye ndoo lita 10 ya sabuni utaweka rangi kijiko 1 cha chai, rangi ya kijani pafyumu aina ya ' Rose two one ' au pino vijiko 5 vya chakula na Formalin vijiko 3 vya chakula. Formalin kwa ajili ya kuua wadudu ( bacteria ) ni vinzuri sana kuwemo kwenye sabuni ya chooni kwani ina kazi nyingi zaidi ya hiyo iliyotajwa Asante sana rafiki sasa chukua hatua ya kufanya hakika utafanikiwa sana

Somo: Roho mtakatifu Na mwl Christopher Mwakasege

Kushirikiana Na Roho Mtakatifu Anapotumia Moto kukuongoza ili utembee kwenye mapenzi ya mungu Biblia inafundisha ya kuwa wana wa mungu huwa wanaishi na wanatakiwa waishi kwa kuongozwa na roho mtakatifu ( warumi 8 : 14, 16, 17 ) Njia moja wapo anayotumia roho Mtakatifu kumwongoza mwana wa mungu, ni kwa kutumia moto wa mungu anaokuja nao ndani ya mtu anapoingia kukaa kwake Biblia inasema juu ya yesu ya kuwa yeye atawabatiza kwa roho mtakatifu na kwa moto ( luka 3 : 16 ) na siku ya pentekoste, wakati wanafunzi wa kwanza wa yesu, walipokuwa wamekutanika pamoja kukuwatokea ndimi zilizogawanyika, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao wote wakajazwa roho mtakatifu ( matendo 2 : 3,4 ) Unaposoma na kutafakari jambo lililotokea siku hiyo ya pentekoste, utajua kuwa kuna uhusiano kati ya ndimi za moto juu ya kila mmoja wao na kule kujazwa roho mtakatifu kwa kila mmoja wao ni dhahiri ya kuwa roho mtakatifu anaingia ndani ya kila mwana wa mungu akiwa pia na moto wa mungu pamoja nao kazi m...