Kishawishi ni nini ?
Mtu hushawishiwa pale anapotamani kitu fulani, hasa kisichofaa. Fikiria mfano huu:
Unapinunua vitu, unaonabkitu chenye kuvutia.
Unapata wazo la kwamba unaweza kuiba na usikamatwe. Hata hivyo, dhamiri yako inakukataza! Kwa hiyo, unapuuza wazo hilo na kusonga mbele.
Kufikia hapo, unakuwa umefaulu kukishinda kishawishi.
Biblia inasema nini? Kushawishiwa haku maanishi kwamba wewe ni mtu mbaya Biblia inasema kwamba sisi sote hukabili vishawishi. (1wakointho 10:13 ) jambo muhomu ni jinsi tunavyotenda tunaposhawishiwa.
Baadhi ya watu huiruhusu tamaa mbaya iwaathiri na hatimaye kutumbukia kwenye dhambi.
Wengine hutambua kishawishi mapema na kukiepuka mara moja
" kila mtu hujaribiwa kwa kuvutwa nakushawishiwa na tamaa yake mwenyewe " __ yakobo 1:14
Maoni
Chapisha Maoni