Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Maisha ya Soroya De Carvalho

"Kujiamini kwangu kunakuja tu nikiwa na kiatu kizuri na nikiwa na nywele za kupendeza.
Nikiwa na vitu hivyo huwa sina haja hata ya kujipodoa. Nywele zangu ndiyo utambulisho wangu. Kwa kuangalia tu nywele zangu utaweza kujua mimi ni mtu wa aina gani"

Maneno haya utayapata kwenye ukurasa wa mbele kabisa w blog yake ya http:// www.styleismythinglux.com Blog dada ya styleismy thing ambayo ni kazi ya mikono yake staa huyu.
Soraya De Carvalho ni mhariri wa blog za styleismything.net, tofauti na mabloga wengine, soraya alipata wazo la kuanzisha blog baada ya kujiuliza tu ni wapi tpt nguo zinazoendana na umbo lake?
Kujiuliza kwake swali hili kulimpa nguvu ya kwenda mbele zaidi.
Na kuamua kushiriki pamoja na wapenzi wa fasheni ktk kutoa mawazo na kuyafanyia kazi .
Soraya ni mwafrika mwenye asili ya Angola anayeishi nchini uingereza.
Mbali na kazi yake ya uandishi ktk mambo ya fasheni pia ni mjasiriamali anayejishughulisha na uuzaji wa bidhaa za nguo na nywele.
 
    Blog

Style is my Thing
Instagram: @styleismything
Ukurasa wake wa instagram una wafuasi: 125,000
Inaendeshwa kutoka uingereza

Hapa ni fasheni kwa kwenda mbele.
Mitindo yote ya nywele na pia viatu pamoja na mavazi na mwenyewe soraya.
Ni blog mhsusi kwa wanawake wenye maumbo ya kiafrika.
Si hivyo tu hata wale wenye rangi adimu ya ngozi hapo ndipo mahala pake.
Utapata mitindo mipya ya viatu na mavazi mengine.
S I hivyo tu pia utaweza kununua moja kwa moja kupitia mtandao huu.
Uzuri wa blog hii ipo ktk mikono salama ya mtaalamu mahiri wa mitindo, hivyo itakuwa ni rahisi kwako kuangalia na hata kuingia na kuchanganya kwenye mavazi yako na mwisho wa siku ukaishia kutoka bomba.
Huna haja ya kupoteza muda, ingia kwenye blog hii na peruzi kuona kama kuna mavazi ama mtindo unaoupendelea.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji Malighafi: 1. Sulphonic Acid Lt 2 2. Soda Ash Kg 1 3. Sless Lt 1 4. Chumvi Kg 1 5. Pafyumu /rangi Bluu 6. Maji Lt 35 _ 40 Jinsi ya kutangeneza Anza kwa kuweka lita 10 mara tatu, yaani lita 10 tena na mwisho lita 10, angalia uzito ongeza tena lita 5 na kisha lita 2 ikiwa uzito bado ongeza lita 2 na mwisho lita 1 4. Chumvi kg 1 3. Sless Lt 1 2. Soda Ash Kg1 1. Sulphonics Acid Lt 2 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu kwa sababu ukiweka pafyumu lita 35 bila kufunika itaisha baada ya muda mfupi. Ni vema rangi na pafyumu uweke pembeni. Mfano: Chukua ndoo ya lita 10, weka rangi robo kijiko cha chai na pafyumu vijiko vya chakula viwili na koroga vizuri. Ni vema utumie pafyumu aina ya lemon. Sababu za kutoweka rangi sabuni yote: Wapo wateja hawapendi rangi na harufu kwa hiyo utawapa kila mtu kama atakavyo na kujaza kwenye chupa zako zenye mifuniko saa hiyo hiyo ukiachia muda inatoka harufu. Asante sana rafiki.

Fahamu jinsi ya kutengeneza sabuni ya vyoo

Sabuni ya kusafisha vyoo Malighafi. 1. Sulphonics Acid Lita 1 2. Soda Ash nusu 1/2 kilo 3. Sless 4. Chumvi 1/2 kilo 5. Maji lita 17 1/2 _ 20 6. Rangi kijani 7. Pafyumu 8. Formalin Jinsi ya kutengeneza Weka maji lita 5 kisha anza kukoroga, ongeza lita 5 kisha lita 5 tena na mwisho lita 2 4. Chumvi 1/2 kg 3. Sless nusu lita 2. Soda ash nusu kilo 1. Sulphonics Acid lita 1 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu ni vinzuri kuweka kwenye ndoo lita 10 ya sabuni utaweka rangi kijiko 1 cha chai, rangi ya kijani pafyumu aina ya ' Rose two one ' au pino vijiko 5 vya chakula na Formalin vijiko 3 vya chakula. Formalin kwa ajili ya kuua wadudu ( bacteria ) ni vinzuri sana kuwemo kwenye sabuni ya chooni kwani ina kazi nyingi zaidi ya hiyo iliyotajwa Asante sana rafiki sasa chukua hatua ya kufanya hakika utafanikiwa sana

Somo: Roho mtakatifu Na mwl Christopher Mwakasege

Kushirikiana Na Roho Mtakatifu Anapotumia Moto kukuongoza ili utembee kwenye mapenzi ya mungu Biblia inafundisha ya kuwa wana wa mungu huwa wanaishi na wanatakiwa waishi kwa kuongozwa na roho mtakatifu ( warumi 8 : 14, 16, 17 ) Njia moja wapo anayotumia roho Mtakatifu kumwongoza mwana wa mungu, ni kwa kutumia moto wa mungu anaokuja nao ndani ya mtu anapoingia kukaa kwake Biblia inasema juu ya yesu ya kuwa yeye atawabatiza kwa roho mtakatifu na kwa moto ( luka 3 : 16 ) na siku ya pentekoste, wakati wanafunzi wa kwanza wa yesu, walipokuwa wamekutanika pamoja kukuwatokea ndimi zilizogawanyika, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao wote wakajazwa roho mtakatifu ( matendo 2 : 3,4 ) Unaposoma na kutafakari jambo lililotokea siku hiyo ya pentekoste, utajua kuwa kuna uhusiano kati ya ndimi za moto juu ya kila mmoja wao na kule kujazwa roho mtakatifu kwa kila mmoja wao ni dhahiri ya kuwa roho mtakatifu anaingia ndani ya kila mwana wa mungu akiwa pia na moto wa mungu pamoja nao kazi m...