Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Madhabau ya Bwana Na wilson mtishbi

Madhabahu ni nini Ni mahali pa juu yanayounganisha na kupatanisha ulimwengu wa roho na ulimwengu wa damu na nyama yani ulimwengu wa mwili

Kwa nini madhabahu; madhabahu ni mlango wa kufungua mambo yasio honekana kwa macho ya nyama, ambao mlango huo unafunguliwa kwa kuangusha kafala, sadaka juu ya madhabahu.

Ni nani aliye buni jambo hili la madhabahu

Biblia aisemi ni mwanadamu gani aliyebuni jambo hili bali Biblia imetaja na kuonyesha familia ya kwanza kutumia madhabahu.
Familia ya kwanza kutumia madhabahu ni familia ya Adamu na Hawa.
Hii ndio familia ya kwanza kutumia madhabahubya bwana.
Tunafahamu kwenye ( mwanzo 4:1,4 )
Tunaona watoto wa Adamu wakisogeza sadaka kwa Bwana Neno linasema hivi " Adamu akamjua hawa mkewe naye akapata mimba akamza kaini akasema Nimepata mtoto mwanaume kwa Bwana Akaongeza akamzaa ndugu yake Habili alikuwa mchunga kondoo na kaini alikuwa mkulima ardhi ikawa hatimaye kaini akaleta wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu zilizonona za wanyama. Bwana akamtakabali Habili na sadaka yake"
Sasa basi sipo hapa kufahamu yaliyotokea kwa wanandugu hawa na sadaka zao.
Bali nipo hapa ili tufahamu watu wa kwanza kutumia madhabahu ya Bwana na Tumefahamu kuwa familia ya Adamu ndio watu wa kwanza kutumia madhabahu ya Bwana, japo ktk Biblia hatuoni mahali Bwana akisema na Adamu hivi " ni jengee madhabahu yangu"
Ila tumefahamu kwa sadaka za watoto wake kwa maana uwezi kufanya jambo kama hauna maelekezo.
Bwana ndiye mwanzo wa jambo hili ( ufunuo wa yohana 8:3 ) ianasema hivi Na malaika mwingine akaja akasimama mbele ya madhabahu, mwenye chetezo cha dhahabu, akapewa uvumba mwingi, ili autie pamoja na maombi ya watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu, iliyo mbele ya kiti cha enzi.
Hata mbinguni yapo madhabahu tena ya dhahabu.
Shughuli ye yote ya kiroho lazima yaitimiswe kwenye madhabahu.
Madhabahu yetu sisi wa duniani ni mfano wa madhabahu ya mbingu.

Sikia ndugu;

Nyuma ya Mafaniko yako yapo madhabahu
Ushindi wako jua kabisa nyuma  yuko mungu.
Kwa hiyo mungu anayo madhabahu fahamu kuwa hata shetani roho muongo na mchinjaji tangu mwanzo pia na yeye anatumia madhabahu

Raia wa Ulimwengu wa roho ni lazima kutumia madhabahu ili uweze kumiliki vyitu vya mwilini.
Kwa nini kumiliki

Tutajifunza jambo hili wakati ujao kwa leo tunaishia hapa

Maombi ya kuomba
Kwa damu ya mwana kondoo na vunja madhabahu za mashetani kwa jina la yesu kristo.
Madhabahu ye yote niliowaikuto sadaka nazivunja kwa damu ya yesu kristo kwa damu ya mwana kondooo, kwa damu ya mwana kondooo amen

Sasa rafiki endelea kuomba maombi haya kila siku bila kukata tamaa kwa maana hadui wetu shetani hacho rafiki na wewe usichoki si mama kwa imani kuomba maombi haya amen.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji Malighafi: 1. Sulphonic Acid Lt 2 2. Soda Ash Kg 1 3. Sless Lt 1 4. Chumvi Kg 1 5. Pafyumu /rangi Bluu 6. Maji Lt 35 _ 40 Jinsi ya kutangeneza Anza kwa kuweka lita 10 mara tatu, yaani lita 10 tena na mwisho lita 10, angalia uzito ongeza tena lita 5 na kisha lita 2 ikiwa uzito bado ongeza lita 2 na mwisho lita 1 4. Chumvi kg 1 3. Sless Lt 1 2. Soda Ash Kg1 1. Sulphonics Acid Lt 2 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu kwa sababu ukiweka pafyumu lita 35 bila kufunika itaisha baada ya muda mfupi. Ni vema rangi na pafyumu uweke pembeni. Mfano: Chukua ndoo ya lita 10, weka rangi robo kijiko cha chai na pafyumu vijiko vya chakula viwili na koroga vizuri. Ni vema utumie pafyumu aina ya lemon. Sababu za kutoweka rangi sabuni yote: Wapo wateja hawapendi rangi na harufu kwa hiyo utawapa kila mtu kama atakavyo na kujaza kwenye chupa zako zenye mifuniko saa hiyo hiyo ukiachia muda inatoka harufu. Asante sana rafiki.

Fahamu jinsi ya kutengeneza sabuni ya vyoo

Sabuni ya kusafisha vyoo Malighafi. 1. Sulphonics Acid Lita 1 2. Soda Ash nusu 1/2 kilo 3. Sless 4. Chumvi 1/2 kilo 5. Maji lita 17 1/2 _ 20 6. Rangi kijani 7. Pafyumu 8. Formalin Jinsi ya kutengeneza Weka maji lita 5 kisha anza kukoroga, ongeza lita 5 kisha lita 5 tena na mwisho lita 2 4. Chumvi 1/2 kg 3. Sless nusu lita 2. Soda ash nusu kilo 1. Sulphonics Acid lita 1 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu ni vinzuri kuweka kwenye ndoo lita 10 ya sabuni utaweka rangi kijiko 1 cha chai, rangi ya kijani pafyumu aina ya ' Rose two one ' au pino vijiko 5 vya chakula na Formalin vijiko 3 vya chakula. Formalin kwa ajili ya kuua wadudu ( bacteria ) ni vinzuri sana kuwemo kwenye sabuni ya chooni kwani ina kazi nyingi zaidi ya hiyo iliyotajwa Asante sana rafiki sasa chukua hatua ya kufanya hakika utafanikiwa sana

Somo: Roho mtakatifu Na mwl Christopher Mwakasege

Kushirikiana Na Roho Mtakatifu Anapotumia Moto kukuongoza ili utembee kwenye mapenzi ya mungu Biblia inafundisha ya kuwa wana wa mungu huwa wanaishi na wanatakiwa waishi kwa kuongozwa na roho mtakatifu ( warumi 8 : 14, 16, 17 ) Njia moja wapo anayotumia roho Mtakatifu kumwongoza mwana wa mungu, ni kwa kutumia moto wa mungu anaokuja nao ndani ya mtu anapoingia kukaa kwake Biblia inasema juu ya yesu ya kuwa yeye atawabatiza kwa roho mtakatifu na kwa moto ( luka 3 : 16 ) na siku ya pentekoste, wakati wanafunzi wa kwanza wa yesu, walipokuwa wamekutanika pamoja kukuwatokea ndimi zilizogawanyika, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao wote wakajazwa roho mtakatifu ( matendo 2 : 3,4 ) Unaposoma na kutafakari jambo lililotokea siku hiyo ya pentekoste, utajua kuwa kuna uhusiano kati ya ndimi za moto juu ya kila mmoja wao na kule kujazwa roho mtakatifu kwa kila mmoja wao ni dhahiri ya kuwa roho mtakatifu anaingia ndani ya kila mwana wa mungu akiwa pia na moto wa mungu pamoja nao kazi m...