Sergio Aguero amepata ajali ya gari akiwa Uholanzi na atalikosa pambano la leo huku akitarajiwa kukosa mechi nyingine.
Aguelo alikuwa abiria ktk teksi yake iliyopata ajali wakati akitoka ktk tamasha kubwa la mwanamuziki maarufu wa colombia, maluma
Alhamisi usiku huku akielekea uwanja wa ndege kurudi England kujiandaa na pambano la leo.
Habari zaidi zinadai kuwa, Aguero anaweza kuwa nje kwa wiki sita hadi nane kutokana na majeraha hayo huku pia akitazamiwa kukosa mechi mbili muhimu za Argentina za kufuzu michuano ya kombe la Dunia
Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji Malighafi: 1. Sulphonic Acid Lt 2 2. Soda Ash Kg 1 3. Sless Lt 1 4. Chumvi Kg 1 5. Pafyumu /rangi Bluu 6. Maji Lt 35 _ 40 Jinsi ya kutangeneza Anza kwa kuweka lita 10 mara tatu, yaani lita 10 tena na mwisho lita 10, angalia uzito ongeza tena lita 5 na kisha lita 2 ikiwa uzito bado ongeza lita 2 na mwisho lita 1 4. Chumvi kg 1 3. Sless Lt 1 2. Soda Ash Kg1 1. Sulphonics Acid Lt 2 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu kwa sababu ukiweka pafyumu lita 35 bila kufunika itaisha baada ya muda mfupi. Ni vema rangi na pafyumu uweke pembeni. Mfano: Chukua ndoo ya lita 10, weka rangi robo kijiko cha chai na pafyumu vijiko vya chakula viwili na koroga vizuri. Ni vema utumie pafyumu aina ya lemon. Sababu za kutoweka rangi sabuni yote: Wapo wateja hawapendi rangi na harufu kwa hiyo utawapa kila mtu kama atakavyo na kujaza kwenye chupa zako zenye mifuniko saa hiyo hiyo ukiachia muda inatoka harufu. Asante sana rafiki.
Maoni
Chapisha Maoni