Mfanya biashara kutoka Nigeria Aliko Dangote bado ndiye mtu tajiri zaidi barani Afrika kwa mujibu wa orodha ya mabilionea mwaka 2017 iliyondaliwa na jarida la Forbes.
Mtanzania mohammed Dewji bado ndiye bilionea wa umri mdogo zaidi Afrika, Utajiri wake ukikadiriwa kuwa $1.09 bilioni.
1: Aliko Dangote, Nigeria
Utajiri $12.2 Bilioni
2: Nicky Oppenheimer, Afrika kusini
Utajiri $7 Bilioni
3: Mike Adenuga, Nigeria
Utajiri $6.1 Bilioni
4: Johann Rupert, Afrika kusini
Utajiri $6.3 Bilioni
5: Nassef sawiris, misri
Utajiri $5.9 Bilioni
6: Christoffel Wiese, Afrika Kusini
Utajiri $5.9 Bilioni
7: Nathan Kirsch, Swaziland
Utajiri $3.9 Bilioni
8: Naguib Sawiris, misri
Utajiri $3.8 Bilioni
9: Isabel dos santos, Angola
Utajiri $3.1 Bilioni
10: Issad Rebrab, Algeria
Utajiri $3 Bilioni
11: Mohamed Mansour, Misri
Utajiri $27 Bilioni
12: Koos Bekker, Afrika kusini
Utajiri $ 2.1 Bilioni
13: Allan Gray, Afrika kusini
Utajiri $1.99 Bilioni
14: Othman Benjelloun, Morocco
Utajiri $1.9 Bilioni
15: Mohamed Al Fayed, Misri
Utajiri $1.82 Bilioni
16: Patrice Motsepe, Afrika kusini
Utajiri $1.81 Bilioni
17: Yasseen Mansour, Misri
Utajiri $1.76 Bilioni
18: Folorunsho Alakija, Nigeria
Utajiri $1.61 Bilioni
19: Aziz Akhannouch, Morocco
Utajiri $1.58 Bilioni
20: Mohamed Dewji, Tanzania
Utajiri $1.4 Bilioni
21: Stephen Saad, Afrika kusini
Utajiri $1.21 Bilioni
22: youssef Mansour, Misri
Utajiri $1.15 Bilioni
23: Onsi Sawiris, Misri
Utajiri $1.14
24: Anas Sefrioui, Misri
Utajiri $1.06 Bilioni
25: Jannie Mouton, Afrika kusini
Utajiri $1 Bilioni
Hii ndio top 25 ya matajiri wa kubwa Barani Afrika nasema hivi, Asante sana rafiki Tuwe pamoja hapa hapa Nakala zijazo.
Maoni
Chapisha Maoni