Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Ugonjwa wa kichocho

Kichocho ni ugonjwa unaoshambulia mishipa ya kibofu cha mkojo au tumbo la chakula.

Dalili zake

Mtu hupata maumivu makali kwenye kibofu wakati wa kukojoa na maumivu makali ya tumbo anapoharisha.

Mtu hupungukiwa na damu

Mtu hukojoa damu au huharisha kinyesi chenye damu.

Mtu kuumwa tumbo mara kwa mara

Jinsi ya kujikinga

Tumia choo kwa haja kubwa na ndogo

Epuka kuogelea, kuoga, kunawa, kulima, kuvua, kucheza, kwenye maji yenye konokono wa kichocho

Tumia mazingira yanayozunguka nyumba za kuishi kwa kufyeka vichaka na kufukia madimbwi

Asante sana karibu juma lijalo hapa hapa msikivu blog

Maoni