Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Kiki Ndio solution wa mziki wetu

Nacho kiona mbele ya mziki huu wa Tanzania ni mziki kushuka kwa spidi ya ajabu sana. Napenda kusema kuwa mziki na kiki haviwezi kukaa chungu kimoja kwa maana kiki ni maisha asilia ya mtu na mziki ni ulemwengu wa hisia zinazo ishi kabisa.

Kutumia maisha yako ili kukuza mziki wako ni kupoteza muda wako pamoja na kupata madhala makubwa katika maisha yako.

Madhara utakayo yapata ni haya

1: utapoteza utu wako

2: utaishi maisha ya mashaka

3: kukosa ubunifu wa kazi zako

4: familia watakosa amani na imani na wewe

Je wewe ni mwanamuziki unaye penda sana kutumia kiki kwa ajiri ya kazi zako ?

Umepoteza nini mpaka sasa baada ya kutumia kiki ? haya ni maswali ya kujiuliza kabla ya kuamua kutubu.

Kwanini kupoteza utu wako sababu ya kuwaweka mashabiki wako moyo juu juu,
Una huwakika kweli mashabiki wako wanakupenda ? Kama kweli wanakupenda wajaribu kwa kupeleka Albamu zako soko tuone kama watanunu

Ukweli mashabiki hawana upendo wadhati, anayekupenda ni mungu na familia yako basi

Kitu kingine ni wewe kufahamu kuwa hizo sio tamaduni za mtu mweusi, pili tuna dini zetu tatu tumezungukwa na jamaa na marafiki wa familia zetu

Namaliza kwa kusema kuwa, mwaka huu ukikatika kaa mezani ujue umetengeneza shilingi ngapi
Je jamii wanakuzungumziaje na pia viongozi wako wa kidini wako tayari kukushirikisha na wamekushirikisha mara ngapi ndani ya mwaka huu 

Asante sana rafiki

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji Malighafi: 1. Sulphonic Acid Lt 2 2. Soda Ash Kg 1 3. Sless Lt 1 4. Chumvi Kg 1 5. Pafyumu /rangi Bluu 6. Maji Lt 35 _ 40 Jinsi ya kutangeneza Anza kwa kuweka lita 10 mara tatu, yaani lita 10 tena na mwisho lita 10, angalia uzito ongeza tena lita 5 na kisha lita 2 ikiwa uzito bado ongeza lita 2 na mwisho lita 1 4. Chumvi kg 1 3. Sless Lt 1 2. Soda Ash Kg1 1. Sulphonics Acid Lt 2 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu kwa sababu ukiweka pafyumu lita 35 bila kufunika itaisha baada ya muda mfupi. Ni vema rangi na pafyumu uweke pembeni. Mfano: Chukua ndoo ya lita 10, weka rangi robo kijiko cha chai na pafyumu vijiko vya chakula viwili na koroga vizuri. Ni vema utumie pafyumu aina ya lemon. Sababu za kutoweka rangi sabuni yote: Wapo wateja hawapendi rangi na harufu kwa hiyo utawapa kila mtu kama atakavyo na kujaza kwenye chupa zako zenye mifuniko saa hiyo hiyo ukiachia muda inatoka harufu. Asante sana rafiki.

Utengenezaji wa sabuni

1: Utengenezaji wa sabuni za mche     Malighafi: 1: Caustic kg 4 2: Maji lita 10 3: Mafuta lita 20 4: Sodium Silicate Kg 2 5: pafyumu mili lita. 250 __  300 6: Chumvi vijiko 2 vikubwa Sabuni hii unaweza kuogea na kufulia inakuwa nzuri sana. Jinsi ya kutengeneza Loweka Caustic kg 4 kwenye maji ya lita 10 kwa siku 3. Ndani ya siku hizo tatu, utakuwa ukikoroga kila siku asubuhi na jioni kwa dakika 5. Kisha chukua sodium silicate kg2 ikifuatiwa na chumvi vijiko 2 vya chakula na mafuta huku unaendelea kukoroga kwa juhudi. Baada ya hapo weka kwenye maumbo kwa siku 3 __ 5 ili igande vizuri. Asante sana rafiki

Fahamu jinsi ya kutengeneza sabuni ya unga

Sabuni ya unga Malighafi. A. Solphonic lita 1 B. Sodium sulphate kilo 3 C. Optical brightener vijiko 10 vya chakula D. Nausa vijiko 10 vya chakula E. Soda ash kilo 3 F. Pafyumu kijiko 1 cha chakula G. Rangi kijiko 1 cha chakula Jinsi ya kutengeneza Andaa malighafi kwa resho kama ilivyoandikwa hapo juu, Beseni na mwiko, kisha weka kimoja kimoja ukianza na herufi A __ G, huku ukikoroga mseto wako kwa muda wa dakika 15 halafu anika sehemu yenye hewa kivulini hadi ikauke. Hapo sabuni yako ya unga itakuwa tayari, iweke kwenye vifungashio ipeleke aokoni