Mume na mke wanapaswa kutenga muda wa kuwa pamoja, na pia watoto wanahitaji kuwa na wazazi wao.
Kwa hiyo epuka kujilinganisha na familia ambazo huwa na shughuli nyingi kila wakati. Gary anapendekeza hivi: " Tenga muda wa kupumzika, na uondoe mambo yasiyo ya lazima kwenye ratiba yako."
Mnapokuwa pamoja kama familia, msiruhusu televisheni, simu, au kifaa kingine chochote kiwatenganishe, mjitahidi kula angalau mlo wakati huo kuzungumza.
Wazazi wanapotumia ushauri huo rahisi, hali ya watoto wao itaboreka na watafanya vizuri shuleni.
Kwa kumalizia, jiulize hivi: " Ninataka nini maishani? Ninataka nini kwa ajili ya familia yangu? " Ikiwa unatamani kuwa na maisha yenye furaha na uradhi zaidi, tanguliza mambo yanayoonyesha unatumia heshima inayopatikana kwenye Biblia
Maoni
Chapisha Maoni