Wanyama wengi wanaoishi ktk maji ya baridi wana tabaka jembamba la mafuta lililo ndani ya ngozi linalowasaidia kudumisha joto.
Lakini fisi maji wa baharini hutumia mbinu nyingine.
Yeye hutegemea manyoya yake yaliyobabana.
Fikiria jambo hili: manyoya ya fisi wa baharini yamebanana zaidi kuliko ya mnyama mwingine yeyote.
Ana manyoya karibu milioni moja ktk kila inchi ya mraba ( 155,000 kwa kila sentimita ya mraba )
Anapoongelea, manyoya yake huungana na kufanyiza tabaka la hewa katikati ya manyoya na ngozi yake.
Hivyo, tabaka hilo la hewa huwa kama koti linalomkinga, kwa kuzuia maji ya baridi kugusa moja kwa moja ngozi yake na hivyo kuathiri joto la mwili.
Wanasayansi wanaamini kwamba kuna jambo tunaloweza kujifunza kutokana na manyoya ya fisi maji wa baharini
1: Utengenezaji wa sabuni za mche Malighafi: 1: Caustic kg 4 2: Maji lita 10 3: Mafuta lita 20 4: Sodium Silicate Kg 2 5: pafyumu mili lita. 250 __ 300 6: Chumvi vijiko 2 vikubwa Sabuni hii unaweza kuogea na kufulia inakuwa nzuri sana. Jinsi ya kutengeneza Loweka Caustic kg 4 kwenye maji ya lita 10 kwa siku 3. Ndani ya siku hizo tatu, utakuwa ukikoroga kila siku asubuhi na jioni kwa dakika 5. Kisha chukua sodium silicate kg2 ikifuatiwa na chumvi vijiko 2 vya chakula na mafuta huku unaendelea kukoroga kwa juhudi. Baada ya hapo weka kwenye maumbo kwa siku 3 __ 5 ili igande vizuri. Asante sana rafiki
Maoni
Chapisha Maoni