Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Ili kutimiza malengo yako unahutaji kuweza kuyafuata mambo yafuatayo

1: kuchagua
Mwanadamu ye yote mwenye haki ya kuishi hapa duniani anahitaji upeo wa hali ya juu sana ili kufanikiwa, haiwezekana kabisa ukasema unahutaji mafanikio harafu ukashindwa kuchagua kile kilicho chema kwako
Maisha ya wengi yamekuwa mashakani kwa sababu wengi wetu tumeshindwa kuchgua vitu sahihi vya kufanya hivi huja wahi kuona mtu analalamika ya kwamba biashara ngumu Bila shaka utakuwa umewahi kuonana na watu wa aina hii.
Lakini ukifanya uchunguzi wa kina juu ya jambo hili utagundua ya kwamba mtu huyo halikuwa chaguo lake kufanya biashara hiyo, ila alifanya baada ya kuona mtu fulani anafanya biashara hiyo
Suala ya kutofanya uchaguzi sahihi si kwa mfanya biashara tu,
Ila suala la watu wengi kushindwa kufanikiwa mara nyingi. Hapa ndipo ambapo nakumbuka ule usemi ambao husema ya kwamba ni heri ukosee njia ya kupita ila si kukosea kuchagua mke wa kuoa.
Kama ilivyo ktk usemi huo nami nasema ya kwamba kama tutashindwa kufanya uchaguzi wa vitu vya kufanya ma hakika tutakufa maskini huku tukuziacha ndoto zetu kubwa ziweze kupotelea hewani
Huvyo kwa kuwa wewe ni nwenye mamlaka ya kutaka kuona unatimiza malengo yako, hakikisha ya kwamba unafanya mambo ambayo umeyachagua mwenyewe au kwa sababu mtu mwingine amekwambia ufanye kwani endapo utachaguliwa jambo la kufanya hautalitenda kwa ufasaha

2: Uhuru
Baada ya kufanya uchunguzi wa jambo ambalo unalitaka kulifanya, jambo la pili unahitaji uhuru wa kutenda jambo hilo.

3: Uwajibikaji
Hakuna mafanikio ya kweli kama utayafanya nyote ambayo nimeyabainisha hapo juu na ukashindwa kulifanyia kazi hili la tatu kwa jambo lolote ambalo umelipanga kulifanya unahitaji kuweza kulitekeleza kwa kiwango cha juu sana, haiwezekani ukawa mvivu halafu ukategemea eti ndoto zako zitakuwa kweli.
Ni weke nukta kwa kusema nakutakia siku njema na mafanikio mema.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji Malighafi: 1. Sulphonic Acid Lt 2 2. Soda Ash Kg 1 3. Sless Lt 1 4. Chumvi Kg 1 5. Pafyumu /rangi Bluu 6. Maji Lt 35 _ 40 Jinsi ya kutangeneza Anza kwa kuweka lita 10 mara tatu, yaani lita 10 tena na mwisho lita 10, angalia uzito ongeza tena lita 5 na kisha lita 2 ikiwa uzito bado ongeza lita 2 na mwisho lita 1 4. Chumvi kg 1 3. Sless Lt 1 2. Soda Ash Kg1 1. Sulphonics Acid Lt 2 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu kwa sababu ukiweka pafyumu lita 35 bila kufunika itaisha baada ya muda mfupi. Ni vema rangi na pafyumu uweke pembeni. Mfano: Chukua ndoo ya lita 10, weka rangi robo kijiko cha chai na pafyumu vijiko vya chakula viwili na koroga vizuri. Ni vema utumie pafyumu aina ya lemon. Sababu za kutoweka rangi sabuni yote: Wapo wateja hawapendi rangi na harufu kwa hiyo utawapa kila mtu kama atakavyo na kujaza kwenye chupa zako zenye mifuniko saa hiyo hiyo ukiachia muda inatoka harufu. Asante sana rafiki.

Fahamu jinsi ya kutengeneza sabuni ya vyoo

Sabuni ya kusafisha vyoo Malighafi. 1. Sulphonics Acid Lita 1 2. Soda Ash nusu 1/2 kilo 3. Sless 4. Chumvi 1/2 kilo 5. Maji lita 17 1/2 _ 20 6. Rangi kijani 7. Pafyumu 8. Formalin Jinsi ya kutengeneza Weka maji lita 5 kisha anza kukoroga, ongeza lita 5 kisha lita 5 tena na mwisho lita 2 4. Chumvi 1/2 kg 3. Sless nusu lita 2. Soda ash nusu kilo 1. Sulphonics Acid lita 1 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu ni vinzuri kuweka kwenye ndoo lita 10 ya sabuni utaweka rangi kijiko 1 cha chai, rangi ya kijani pafyumu aina ya ' Rose two one ' au pino vijiko 5 vya chakula na Formalin vijiko 3 vya chakula. Formalin kwa ajili ya kuua wadudu ( bacteria ) ni vinzuri sana kuwemo kwenye sabuni ya chooni kwani ina kazi nyingi zaidi ya hiyo iliyotajwa Asante sana rafiki sasa chukua hatua ya kufanya hakika utafanikiwa sana

Somo: Roho mtakatifu Na mwl Christopher Mwakasege

Kushirikiana Na Roho Mtakatifu Anapotumia Moto kukuongoza ili utembee kwenye mapenzi ya mungu Biblia inafundisha ya kuwa wana wa mungu huwa wanaishi na wanatakiwa waishi kwa kuongozwa na roho mtakatifu ( warumi 8 : 14, 16, 17 ) Njia moja wapo anayotumia roho Mtakatifu kumwongoza mwana wa mungu, ni kwa kutumia moto wa mungu anaokuja nao ndani ya mtu anapoingia kukaa kwake Biblia inasema juu ya yesu ya kuwa yeye atawabatiza kwa roho mtakatifu na kwa moto ( luka 3 : 16 ) na siku ya pentekoste, wakati wanafunzi wa kwanza wa yesu, walipokuwa wamekutanika pamoja kukuwatokea ndimi zilizogawanyika, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao wote wakajazwa roho mtakatifu ( matendo 2 : 3,4 ) Unaposoma na kutafakari jambo lililotokea siku hiyo ya pentekoste, utajua kuwa kuna uhusiano kati ya ndimi za moto juu ya kila mmoja wao na kule kujazwa roho mtakatifu kwa kila mmoja wao ni dhahiri ya kuwa roho mtakatifu anaingia ndani ya kila mwana wa mungu akiwa pia na moto wa mungu pamoja nao kazi m...