Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Hii ndio sababu ya kubwa ya kushindwa kufanikiwa kwako

Mafanikio makubwa huja kwa watu waliojiandaa. Kitu hicho ni baadhi ya watu wachache sana ambao hutmbua.
Watu wengi tunafikiri ya kuwa mafanikio tunayo yahitaji msingi wake mkubwa ni mtaji kwa maana ya kuwa na pesa kwa ajili ya kuanzisha biashara au jambo lolote.
Ila ukweli ni kwa tayari kwa ajili ya mafanikio hayo kwani mafanikio huwa hayaji kwa bahati mbaya.

Kuwa na wazo hilo la kuwa na mtaji sio tatizo sana.
Ila tatizo linakuja pale ambapo tunasahau ya kuwa kuna tatizo kubwa ambalo linafanya.
Watu wengi washindwe kutimiza ndoto zao.
Jambo hilo ni woga binafsi hili ndilo tatizo kubwa ambalo watu wengi linawafanya washindwe kufikia ndoto zao.
Kuna usemi husema maisha ya mwanadamu yamethiriwa kwa kiasi kikubwa na woga.
Watu wengi wana woga wa uthubutu ktk jambo fulani mfano mtu leo hii anaweza ktk akili yake kwamba hawezi kufanya jambo fulani.
Akili yake ndivo inavyowaza hii ni kutokana na woga alio nao katika nafsi yake.
Woga binafsi mara nyingine hujenga na jamii ya watu ambao wanakuzunguka.
Mfano leo hii unataka kuanzisha biashara fulani kuna baadhi ya watu watakwambia hautaweza na wewe unaamini kweli hautaweza hivyo unaharisha kufanya jambo hilo, hii ni kutokana. Umeshajenga woga binafsi kwa kuwa mtu fulani alikwmbia hautaweza kufanya jambo fulani.
Wapo pia baadhi ya wazazi mara nyingi huwajenga picha mbaya watoto zao na watoto hao kuamini kuwa hawewezi.
Mfano mtoto wako kila siku anafeli ktk masomo yake.
Baadala ya wazazi kumuonesha njia za kuweza kufaulu.
Ila wewe unamkatisha tamaa.
Mwisho wa siku mtoto huyo anajenga woga binafsi, na kuamini yeye hawezi.
Ndugu msomaji wa makala hii inawezekana hata wewe unashindwa kufanikiwa, hii ni kwa sababu kuna maneno ambayo uliambiwa na wazazi au ndugu wengine wanakuzunguka na leo hii bado unayakumbuka.
Mfano. Inawezekana uliambiwa wewe kichwa chako sio cha biashara na wewe ukayamini maneno hayo.
Hivyo wakakwambia ujikite zaidi ktk
Elimu yaani usome kwa bidii ili uje kuwa mtu fulani hapo baadae.
Kwa kuwa uliamini kuwa huwezi kufanya biashara na ukajikita ktk zaidi ktk elimu.
Umemaliza masomo yako, ajira hakuna kwa kuwa ulishaambiwa kuwa huna kichwa cha biashara leo hii unaona maisha yana zidi kuwa magumu na huna njia nyingine za kujiongeza ili uweze kufanikiwa.
Huwa ni ukweli usifichika wala hauhitaji mifano kutoka ulaya watu wengi tunashindwa kufanikiwa.
Hii ni kutokana na woga binafsi tulio nao watu wengi.
Wito wangu kwako ni kwamba ili uweze kufanikiwa unahitaji kujiamini, tumia akili, nguvu na kuwa na mawazo bora ya kufikiri yatakayokufanya wewe kutoka ktk hali uliyonayo kusonga mbele kuyasuka mafanikio.

Naomba kwa leo niishie hapa

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji Malighafi: 1. Sulphonic Acid Lt 2 2. Soda Ash Kg 1 3. Sless Lt 1 4. Chumvi Kg 1 5. Pafyumu /rangi Bluu 6. Maji Lt 35 _ 40 Jinsi ya kutangeneza Anza kwa kuweka lita 10 mara tatu, yaani lita 10 tena na mwisho lita 10, angalia uzito ongeza tena lita 5 na kisha lita 2 ikiwa uzito bado ongeza lita 2 na mwisho lita 1 4. Chumvi kg 1 3. Sless Lt 1 2. Soda Ash Kg1 1. Sulphonics Acid Lt 2 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu kwa sababu ukiweka pafyumu lita 35 bila kufunika itaisha baada ya muda mfupi. Ni vema rangi na pafyumu uweke pembeni. Mfano: Chukua ndoo ya lita 10, weka rangi robo kijiko cha chai na pafyumu vijiko vya chakula viwili na koroga vizuri. Ni vema utumie pafyumu aina ya lemon. Sababu za kutoweka rangi sabuni yote: Wapo wateja hawapendi rangi na harufu kwa hiyo utawapa kila mtu kama atakavyo na kujaza kwenye chupa zako zenye mifuniko saa hiyo hiyo ukiachia muda inatoka harufu. Asante sana rafiki.

Fahamu jinsi ya kutengeneza sabuni ya vyoo

Sabuni ya kusafisha vyoo Malighafi. 1. Sulphonics Acid Lita 1 2. Soda Ash nusu 1/2 kilo 3. Sless 4. Chumvi 1/2 kilo 5. Maji lita 17 1/2 _ 20 6. Rangi kijani 7. Pafyumu 8. Formalin Jinsi ya kutengeneza Weka maji lita 5 kisha anza kukoroga, ongeza lita 5 kisha lita 5 tena na mwisho lita 2 4. Chumvi 1/2 kg 3. Sless nusu lita 2. Soda ash nusu kilo 1. Sulphonics Acid lita 1 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu ni vinzuri kuweka kwenye ndoo lita 10 ya sabuni utaweka rangi kijiko 1 cha chai, rangi ya kijani pafyumu aina ya ' Rose two one ' au pino vijiko 5 vya chakula na Formalin vijiko 3 vya chakula. Formalin kwa ajili ya kuua wadudu ( bacteria ) ni vinzuri sana kuwemo kwenye sabuni ya chooni kwani ina kazi nyingi zaidi ya hiyo iliyotajwa Asante sana rafiki sasa chukua hatua ya kufanya hakika utafanikiwa sana

Somo: Roho mtakatifu Na mwl Christopher Mwakasege

Kushirikiana Na Roho Mtakatifu Anapotumia Moto kukuongoza ili utembee kwenye mapenzi ya mungu Biblia inafundisha ya kuwa wana wa mungu huwa wanaishi na wanatakiwa waishi kwa kuongozwa na roho mtakatifu ( warumi 8 : 14, 16, 17 ) Njia moja wapo anayotumia roho Mtakatifu kumwongoza mwana wa mungu, ni kwa kutumia moto wa mungu anaokuja nao ndani ya mtu anapoingia kukaa kwake Biblia inasema juu ya yesu ya kuwa yeye atawabatiza kwa roho mtakatifu na kwa moto ( luka 3 : 16 ) na siku ya pentekoste, wakati wanafunzi wa kwanza wa yesu, walipokuwa wamekutanika pamoja kukuwatokea ndimi zilizogawanyika, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao wote wakajazwa roho mtakatifu ( matendo 2 : 3,4 ) Unaposoma na kutafakari jambo lililotokea siku hiyo ya pentekoste, utajua kuwa kuna uhusiano kati ya ndimi za moto juu ya kila mmoja wao na kule kujazwa roho mtakatifu kwa kila mmoja wao ni dhahiri ya kuwa roho mtakatifu anaingia ndani ya kila mwana wa mungu akiwa pia na moto wa mungu pamoja nao kazi m...