Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Fahamu kipindi Tulipo Na wilson Mtishbi

Ktk maisha, Ni jambo nzuri sana kufahamu wakati. kwa maana wakati ni afya ni uzima ktk maisha yako,
Sasa leo  tutakumbushana kwa habari ya matukio yanayoikumbu dunia Hivi karibuni.
Je una amini injili tuliokabiziwa kwa mkono wa kristo??
Kama ndio ungana nami pamoja na kama hapana nina kukaribisha kwa jina la yesu kristo katika makala hii ili tukue kiroho na tupate afya pamoja tuwe na tahadhali kwa maana tunaishi ktk dunia iliofikia ukingoni.

Matukio ya hivi karibuni ya kutisha yaliyo hikumba dunia:

1: Tetemeko la ardhi
2: Tabia ya inchi
3: upepo wa aina ya kimbuka na matufani

Haya ni bahazi ya matukio ya kutisha yaliohikumba dunia hivi karibuni.
Ni heri yange tokea mwaka tofauti tofauti bali yametokea ndani ya mwaka mmoja.
Tunajifunza nini ??
Tunajivunza kumtafuta mungu kwa maana kwa akili zetu hatuta wezaa kabisa.
Matukio haya yametokea kwenye mataifa makubwa kiuchumi nao wameshindwa kuyazibiti matatizo yote haya. Siwezi kusema mwisho wa dunia umefika kwa maana roho wa mungu ajanishuhudia jambo hilo, kwa hapo sipendi kuitwa muhongo.
Matukio yote haya mabadiliko ya inchi nk Ni wakati wa kutengeneza na Bwana, kwa maana wakati hupo, mrango wa reema uko wazi kwa kila mtu.

( yohana 17:3 ) inasema "na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe mungu wa pekee wa kweli na yesu kristo uliyemtuma"
Ndugu zangu kwa matukio haya wala tusiogope, tunapaswa kubadili tabia zetu na kumgeukia Bwana wetu naye ni yesu kristo ndio kimbilio letu.

Akili zetu zitashindwa, pesa zina ukomo wake.

Yesu ndiye njia, yeye ndiye huo ufufu na uzima, yeye ni njia ya kwenda mbinguni, hakuna njia nyingine wala jibu la maisha yetu kwa mwengine bali ni yesu kristo.

( matendo ya mitume 1: 6, 7 )
Mstali wa saba anasema " Akawaambia, si kazi yenu kujua nyakati wala majira, Baba aliyoyaweka ktk mamlaka yake mwenye "
Kama mungu ajakutuma kusema habari za siku za mwisho basi hujue sio kazi yako kusema.
Leo sija kuletea habari za siku za mwisho bali tunakumbushana kuwa hizi ni nyakati za kumgeukia yesu kristo

Fahamu kuwa wokovu ni leo, Tafuta kanisa la kiroho iliyo karibu yako ili ukue huki mfahamu mungu

Uchaguzi wako ndio makao yako ya milele.

Asante sana.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji Malighafi: 1. Sulphonic Acid Lt 2 2. Soda Ash Kg 1 3. Sless Lt 1 4. Chumvi Kg 1 5. Pafyumu /rangi Bluu 6. Maji Lt 35 _ 40 Jinsi ya kutangeneza Anza kwa kuweka lita 10 mara tatu, yaani lita 10 tena na mwisho lita 10, angalia uzito ongeza tena lita 5 na kisha lita 2 ikiwa uzito bado ongeza lita 2 na mwisho lita 1 4. Chumvi kg 1 3. Sless Lt 1 2. Soda Ash Kg1 1. Sulphonics Acid Lt 2 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu kwa sababu ukiweka pafyumu lita 35 bila kufunika itaisha baada ya muda mfupi. Ni vema rangi na pafyumu uweke pembeni. Mfano: Chukua ndoo ya lita 10, weka rangi robo kijiko cha chai na pafyumu vijiko vya chakula viwili na koroga vizuri. Ni vema utumie pafyumu aina ya lemon. Sababu za kutoweka rangi sabuni yote: Wapo wateja hawapendi rangi na harufu kwa hiyo utawapa kila mtu kama atakavyo na kujaza kwenye chupa zako zenye mifuniko saa hiyo hiyo ukiachia muda inatoka harufu. Asante sana rafiki.

Fahamu jinsi ya kutengeneza sabuni ya vyoo

Sabuni ya kusafisha vyoo Malighafi. 1. Sulphonics Acid Lita 1 2. Soda Ash nusu 1/2 kilo 3. Sless 4. Chumvi 1/2 kilo 5. Maji lita 17 1/2 _ 20 6. Rangi kijani 7. Pafyumu 8. Formalin Jinsi ya kutengeneza Weka maji lita 5 kisha anza kukoroga, ongeza lita 5 kisha lita 5 tena na mwisho lita 2 4. Chumvi 1/2 kg 3. Sless nusu lita 2. Soda ash nusu kilo 1. Sulphonics Acid lita 1 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu ni vinzuri kuweka kwenye ndoo lita 10 ya sabuni utaweka rangi kijiko 1 cha chai, rangi ya kijani pafyumu aina ya ' Rose two one ' au pino vijiko 5 vya chakula na Formalin vijiko 3 vya chakula. Formalin kwa ajili ya kuua wadudu ( bacteria ) ni vinzuri sana kuwemo kwenye sabuni ya chooni kwani ina kazi nyingi zaidi ya hiyo iliyotajwa Asante sana rafiki sasa chukua hatua ya kufanya hakika utafanikiwa sana

Somo: Roho mtakatifu Na mwl Christopher Mwakasege

Kushirikiana Na Roho Mtakatifu Anapotumia Moto kukuongoza ili utembee kwenye mapenzi ya mungu Biblia inafundisha ya kuwa wana wa mungu huwa wanaishi na wanatakiwa waishi kwa kuongozwa na roho mtakatifu ( warumi 8 : 14, 16, 17 ) Njia moja wapo anayotumia roho Mtakatifu kumwongoza mwana wa mungu, ni kwa kutumia moto wa mungu anaokuja nao ndani ya mtu anapoingia kukaa kwake Biblia inasema juu ya yesu ya kuwa yeye atawabatiza kwa roho mtakatifu na kwa moto ( luka 3 : 16 ) na siku ya pentekoste, wakati wanafunzi wa kwanza wa yesu, walipokuwa wamekutanika pamoja kukuwatokea ndimi zilizogawanyika, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao wote wakajazwa roho mtakatifu ( matendo 2 : 3,4 ) Unaposoma na kutafakari jambo lililotokea siku hiyo ya pentekoste, utajua kuwa kuna uhusiano kati ya ndimi za moto juu ya kila mmoja wao na kule kujazwa roho mtakatifu kwa kila mmoja wao ni dhahiri ya kuwa roho mtakatifu anaingia ndani ya kila mwana wa mungu akiwa pia na moto wa mungu pamoja nao kazi m...