Baada ya vipimo vya mkojo kuonyesha kuwa na chembechembe za dawa za kulevya aina ya heroni, mahakama ya hakimu mkazi kisutu, Dar es salaam, imesema mfanya biashara yusufally manji, anaye kabiliwa mashtaka ya kutumia dawa za kulevya ana kesi ya kujibu. Wakati mahakama ikimwona manji ana kesi ya kujibu, upande wa utetezi ukiongozwa na Hudson ndusyepo, umedai kuwa unatarajia kuita mashahidi 15 kupangua tuhuma dhidi ya jamhuri
1: Utengenezaji wa sabuni za mche Malighafi: 1: Caustic kg 4 2: Maji lita 10 3: Mafuta lita 20 4: Sodium Silicate Kg 2 5: pafyumu mili lita. 250 __ 300 6: Chumvi vijiko 2 vikubwa Sabuni hii unaweza kuogea na kufulia inakuwa nzuri sana. Jinsi ya kutengeneza Loweka Caustic kg 4 kwenye maji ya lita 10 kwa siku 3. Ndani ya siku hizo tatu, utakuwa ukikoroga kila siku asubuhi na jioni kwa dakika 5. Kisha chukua sodium silicate kg2 ikifuatiwa na chumvi vijiko 2 vya chakula na mafuta huku unaendelea kukoroga kwa juhudi. Baada ya hapo weka kwenye maumbo kwa siku 3 __ 5 ili igande vizuri. Asante sana rafiki
Maoni
Chapisha Maoni