Ktk karne ya kwanza, mtume paulo alitoa onyo hili: " Neno lililoongozwa na roho linasema kwa hakika kwamba ktk vipindi vya nyakati za mwisho wengine wataanguka kutoka kwenye imani, wakisikiliza maneno yaliyoongozwa kwa roho yenye kupotosha na mafundisho ya roho waovu " ( 1 Timotheo 4:1 ) Bila shaka, maneno hayo yalithibitika kuwa ya kweli ! Mafundisho ya roho waovu " Biblia haiungi mkono fundisho hilo, na chanzo chake ni falsfa na dini za kale za kipagani kwa kupendeza, yesu alisema hivi kutuhusu: " Nanyi mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka ninyi huru" ( yohana 8 : 32 ) Tunapopata ujuzi sahihi wa kweli ya biblia, tunawekwa huru kutokana na mafundisho yasiyomheashimu mungu na mazoea ya nayoungwa mkono na dini nyingi za ulimwengu huu. Kwa kuongezea, kweli iliyo ktk neno la mungu inatuweka huru kutokana na utumwa wa tamaduni na ushirikina unaohusianishwa na kifo. Muumba wetu hakukusudia wanadamu waishi duniani kwa miaka 70 au 80 na kisha waende kuishi milele mahali pengine. Kusudi kuu la mungu ni kwamba wanadamu waishi milele hapa duniani wakiwa watoto wake watiifu. Kusudi hilo linaonyesha jinsi ambayo mungu anawapenda wanadamu na hakika litatimia ( malaki 3: 6 ) mtunga zaburi aliongozwa kutangaza maneno haya yenye kutia moyo; " waadilifu wenyewe wataimiliki dunia, nao watakaa milele juu yake zaburi 37: 29
1: Utengenezaji wa sabuni za mche Malighafi: 1: Caustic kg 4 2: Maji lita 10 3: Mafuta lita 20 4: Sodium Silicate Kg 2 5: pafyumu mili lita. 250 __ 300 6: Chumvi vijiko 2 vikubwa Sabuni hii unaweza kuogea na kufulia inakuwa nzuri sana. Jinsi ya kutengeneza Loweka Caustic kg 4 kwenye maji ya lita 10 kwa siku 3. Ndani ya siku hizo tatu, utakuwa ukikoroga kila siku asubuhi na jioni kwa dakika 5. Kisha chukua sodium silicate kg2 ikifuatiwa na chumvi vijiko 2 vya chakula na mafuta huku unaendelea kukoroga kwa juhudi. Baada ya hapo weka kwenye maumbo kwa siku 3 __ 5 ili igande vizuri. Asante sana rafiki
Maoni
Chapisha Maoni