Biblia ni yenye faida kwa kufundisha, Kwa kukaripia, kwa kunyoosha mambo kwa sababu imeongozwa na roho ya mungu ( 2 Timotheo 3 : 16 ) Naam, Biblia ni kitabu chenye faida. Inaeleza kinaganaga hali ya wanadamu. Hilo halishangazi kwa kuwa mtungaji wake ni yehova Mungu, muumba anaelewa fikira na hisia zetu kuliko tunavyozielewa. Isitoshe, yehova anajua tunachohitaji ili tuwe na furaha. Anajua pia mambo tunayopaswa kuepuka. Fikiria yale yanayopaswa kuepuka. Fikiria yale yanayitwa mahubiri ya mlimani ya yesu ktk mathayo sura ya 5 mpaka ya 7. Ktk mahubiri hayo bora, yesu alizungumzia mambo mbalimbali kama vile jinsi ya kupata furaha ya kweli, jinsi ya kutatua mizozano, jinsi ya kusali, na jinsi ya kuwa na maoni yanayofaa kuelekea vitu vya kimwili. Maneno ya yesu yanachochea na yana faida leo kama yalivyokuwa alipoyasema. Kanuni fulani za Biblia zinawahusu maisha ya familia, mazoea ya kazi, na mahusiano pamoja na wwngine. Kanuni za Biblia zinawahusu watu wote, na shauri lake ni lenye faida sikuzote. Kupitia nabii isaya, mungu anataja hekima iliyo ktk Biblia " Mimi yehova, ni mungu wako, yeye anayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe" ( Isaya 48 : 17 )
1: Utengenezaji wa sabuni za mche Malighafi: 1: Caustic kg 4 2: Maji lita 10 3: Mafuta lita 20 4: Sodium Silicate Kg 2 5: pafyumu mili lita. 250 __ 300 6: Chumvi vijiko 2 vikubwa Sabuni hii unaweza kuogea na kufulia inakuwa nzuri sana. Jinsi ya kutengeneza Loweka Caustic kg 4 kwenye maji ya lita 10 kwa siku 3. Ndani ya siku hizo tatu, utakuwa ukikoroga kila siku asubuhi na jioni kwa dakika 5. Kisha chukua sodium silicate kg2 ikifuatiwa na chumvi vijiko 2 vya chakula na mafuta huku unaendelea kukoroga kwa juhudi. Baada ya hapo weka kwenye maumbo kwa siku 3 __ 5 ili igande vizuri. Asante sana rafiki

Maoni
Chapisha Maoni