Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Jelly: simu janja ndogo zaidi ya kutosha kiganjani inayokuja na mfumo wa 4G



Imezoeleka ukitaka kufurahia teknolojia za kisasa zaidi basi itakubadili kununua simu ghari zaidi, ila kwa simu ya jelly ni tofauti.
Utapata simu yenye mfumo wa 4G na Android 7.0 na kwa bei nafuu zaidi simu ya jelly inasifa ya kuitwa simu janja yenye umbo dogo zaidi duniani inayokuja pia na teknolojia ya mawasiliano ya 4G na pia toleo la kisasa na Android

Muonekano wa simu ya jelly

Simu hii ni simu nzuri tuu yenye uwezo wa kuzishinda simu nyingine nyingi za Android zinazouzwa kwa bei ya juu tuu na huku zikikosa sifa ya kuja na Android 7.0 na kwa uwezo wa 4G LTE.
Simu ya jelly inakuja ktk matoleo mawili jelly ya kawaida inayokuja na RAM ya GB1na diski uhifadhi wa GB 8.
Itauzwa kwa dola 109 za marekani, yaani takribani Tsh 220, 000/=
Pia kuna jelly pro yenye GB 2 ya RAM na diski uhifadhi wa GB 16 hii itaenda kwa dola 125 ( Takribani Tsh 250,000/=
Simu zote hizi kwa sasa zinapatikana kwa bei pungufu kwa watu wanaochangia matengezo ya mkupuo wa kwanza wa simu hizo.
Watu wanaotaka matoleo ya simu hizo kwa haraka zaidi wanaweza kufanya malipo kupitia mtandao wa kick starter ambapo simu zitaanza kutumwa duniani kote.

Sifa zake kwa uchache
__ Android 7.0 Nougat
__ 4G LTE
__  Laini mbili ( ukubwa wa nano )
1.IGHZ quad _ core processor
__ kioo mguso ( Touch screen / display ) cha incha 2.45 ( 240 ×432 resolution )
__ RAM GB 1 ( GB 2 kwa jelly pro )
GB 8 ya disk uhifadhi / storage ( GB 16 kwa jelly pro )
__ Betri ya M Ah 950, kutokana na udogo wa diaplay/ scren kiwango hichi ni sahihi na hakina tatizo
__ Mp2 kwa kamera ya self na mp8 kwa kamera kuu
__ Teknolojia ya Wi-Fi
__ Toleo la Bluetooth 4.0

Simu hii inaweza kuwa nzuri sana kama simu yako ya pili.
Kuweza kukusaidia kuibeba ata sehemu ambazo ungekuwa na wasi wasi wa kupoteza au kuibiwa simu yako ya gharama zaidi.
Inatengenezwa na moja ya kampuni ifahamikayo kwa jina la unihertz ya jijini shanghai 

Asante sana rafiki

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Utengenezaji wa sabuni

1: Utengenezaji wa sabuni za mche     Malighafi: 1: Caustic kg 4 2: Maji lita 10 3: Mafuta lita 20 4: Sodium Silicate Kg 2 5: pafyumu mili lita. 250 __  300 6: Chumvi vijiko 2 vikubwa Sabuni hii unaweza kuogea na kufulia inakuwa nzuri sana. Jinsi ya kutengeneza Loweka Caustic kg 4 kwenye maji ya lita 10 kwa siku 3. Ndani ya siku hizo tatu, utakuwa ukikoroga kila siku asubuhi na jioni kwa dakika 5. Kisha chukua sodium silicate kg2 ikifuatiwa na chumvi vijiko 2 vya chakula na mafuta huku unaendelea kukoroga kwa juhudi. Baada ya hapo weka kwenye maumbo kwa siku 3 __ 5 ili igande vizuri. Asante sana rafiki

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji Malighafi: 1. Sulphonic Acid Lt 2 2. Soda Ash Kg 1 3. Sless Lt 1 4. Chumvi Kg 1 5. Pafyumu /rangi Bluu 6. Maji Lt 35 _ 40 Jinsi ya kutangeneza Anza kwa kuweka lita 10 mara tatu, yaani lita 10 tena na mwisho lita 10, angalia uzito ongeza tena lita 5 na kisha lita 2 ikiwa uzito bado ongeza lita 2 na mwisho lita 1 4. Chumvi kg 1 3. Sless Lt 1 2. Soda Ash Kg1 1. Sulphonics Acid Lt 2 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu kwa sababu ukiweka pafyumu lita 35 bila kufunika itaisha baada ya muda mfupi. Ni vema rangi na pafyumu uweke pembeni. Mfano: Chukua ndoo ya lita 10, weka rangi robo kijiko cha chai na pafyumu vijiko vya chakula viwili na koroga vizuri. Ni vema utumie pafyumu aina ya lemon. Sababu za kutoweka rangi sabuni yote: Wapo wateja hawapendi rangi na harufu kwa hiyo utawapa kila mtu kama atakavyo na kujaza kwenye chupa zako zenye mifuniko saa hiyo hiyo ukiachia muda inatoka harufu. Asante sana rafiki.

Fahamu jinsi ya kutengeneza sabuni ya vyoo

Sabuni ya kusafisha vyoo Malighafi. 1. Sulphonics Acid Lita 1 2. Soda Ash nusu 1/2 kilo 3. Sless 4. Chumvi 1/2 kilo 5. Maji lita 17 1/2 _ 20 6. Rangi kijani 7. Pafyumu 8. Formalin Jinsi ya kutengeneza Weka maji lita 5 kisha anza kukoroga, ongeza lita 5 kisha lita 5 tena na mwisho lita 2 4. Chumvi 1/2 kg 3. Sless nusu lita 2. Soda ash nusu kilo 1. Sulphonics Acid lita 1 Hapo sijaweka rangi wala pafyumu ni vinzuri kuweka kwenye ndoo lita 10 ya sabuni utaweka rangi kijiko 1 cha chai, rangi ya kijani pafyumu aina ya ' Rose two one ' au pino vijiko 5 vya chakula na Formalin vijiko 3 vya chakula. Formalin kwa ajili ya kuua wadudu ( bacteria ) ni vinzuri sana kuwemo kwenye sabuni ya chooni kwani ina kazi nyingi zaidi ya hiyo iliyotajwa Asante sana rafiki sasa chukua hatua ya kufanya hakika utafanikiwa sana