Mwisho utakuja wakati wanadamu watakapokuwa wameonywa kikamili kupitia kazi ya ulimwenguni pote ya kutangaza ufalme wa mungu. Ufalme huo ni serikali itakayotawala dunia nzima wakati ambapo serikali za wanadamu zitaondolewa ( daniel 7:13,14 ) yesu kristo alisema hivi " hii habari njema ya ufalme itahubiriwa katika dunia yote na inayokaliwa ili kuwa ushahidi kwa mataifa yote na ndipo ule mwisho utakapokuja ( mathayo 24:14 ) kazi hiyo ya kuhubiri, inayoonyesha haki na rehema ya mungu ni sehemu ya ishara yenye mambo mengi ya siku za mwisho ishara hiyo inatia ndani pia vita kati ya mataifa matetemeko ya inchi, njaa, na magonjwa ( mathayo 24:3 ) ( luka 21:10,11 ) mbali na kutabiri matukio ya ulimwengu Biblia inatueleza pia kuhusu mabadiliko ya kijamii katika siku za mwisho inasema hivi kutakuwa na nyakati za hatari zilizo ngumu kushughulika nazo kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe wenye kupenda pesa wasiotii wazazi wasiojizuia, wakali, wasiopenda wema, wanaopenda raha badala ya kumpenda mungu ( 2 Timotheo 3:1,5 ) ulimwengu huu mwovu karibuni utapitilia mbali ( 1 yohana 2:17 ) hali hizo zina tambulisha kipindi kilichoanza mwaka 1914 hivi, wakati wa vita vya kwanza vya ulimwengu.
" kwa hiyo, endeleeni kukesha kwa sababu hamwijui ile siku wala saa " ( mathayo 25 :13 )
1: Utengenezaji wa sabuni za mche Malighafi: 1: Caustic kg 4 2: Maji lita 10 3: Mafuta lita 20 4: Sodium Silicate Kg 2 5: pafyumu mili lita. 250 __ 300 6: Chumvi vijiko 2 vikubwa Sabuni hii unaweza kuogea na kufulia inakuwa nzuri sana. Jinsi ya kutengeneza Loweka Caustic kg 4 kwenye maji ya lita 10 kwa siku 3. Ndani ya siku hizo tatu, utakuwa ukikoroga kila siku asubuhi na jioni kwa dakika 5. Kisha chukua sodium silicate kg2 ikifuatiwa na chumvi vijiko 2 vya chakula na mafuta huku unaendelea kukoroga kwa juhudi. Baada ya hapo weka kwenye maumbo kwa siku 3 __ 5 ili igande vizuri. Asante sana rafiki
Maoni
Chapisha Maoni